PICHA ZOTE NA VIDEO MAMBO YALIVYOKUA JANA MLIMANI CITY ZARI ALL WHITE PART VITUKO VYATAWALA JIJI LAZIZIMA






















TID, LAMAR

















WAMEJAA WATU


Mwanadada Jihan (Miss Tanzania #3) akifanya mahojiano na Rachel Kizunguzungu





#‎ZariAllWhitePartY‬ Naaaam!!! Mlimani City iko tayari kuwapokea Diamond Platnumz na Zari.....





RAIA WENGI SANA


Diamond akiwachengua mashabiki kwa wimbo wake wa Nasema Nawe aliomshirikisha Malkia wa Taarab, Khadija Kopa.

Malkia wa Taarab nchini, Khadija Kopa akiimba sambamba na Diamond Wimbo wa Nasema Nawe.

Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Shetta akiwarusha mashabiki waliofika katika Usiku wa Zari All White Party.

Diamond na Nay wa Mitego wakiimba ngoma yao ya Muziki Gani.

Mashabiki wakijiachia.

Diamond Platnumz akizikonga nyoyo za mashabiki.

Ray Kigosi na Mama Rolaa nao ndani.

Diamond akicheza na mashabiki wake.

Nyomi iliyohudhuria shoo hiyo.