

Pia chanzo cheti cha habari kilishindwa kuwataja hao mapedeshe kwa kuwa watu maarufu sana kwa kuhofia usalama wao:tunakishukuru chanzo chetu cha habari kwa kufichua maovu kwani tunapiga vita maovu yanayofanywa na wanafunzi wa vyuo vyoto pamoja na jamii nzima hatutasita kufichua